1. Ada
  2. Editorial
  3. Rungwe Hashim

Rungwe Hashim

Rungwe Hashim

Rungwe ni mwandishi na msimamizi wa maudhui ya Kiswahili ya Ada. Pia anasaidia kufanya utafiti na kupanga mikakati ya kampeni za masoko kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki kama Tanzania. Ni mhitimu wa Shahada ya Uzamili katika masuala ya kisiasa na kijamii aliyotunukiwa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Tuebingen (Ujerumani) na Chuo Kikuu cha Kimarekani, Kairo (AUC) nchini Misri. Baadhi ya mambo anayopendelea ni kufanya mazoezi, kusikiliza vitabu vya sauti (audiobooks), video, na semina. 

LinkedIn

Makala zilizoandikwa:

Makala zilizofasiriwa: