

Ugonjwa wa malaria
Elewa malaria ni nini, dalili zake, na pata vidokezo kadhaa vya kujikinga vitakavyokufanya wewe na familia yako kuwa na afya njema.
Rungwe ni mwandishi na msimamizi wa maudhui ya Kiswahili ya Ada. Pia anasaidia kufanya utafiti na kupanga mikakati ya kampeni za masoko kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki kama Tanzania. Ni mhitimu wa Shahada ya Uzamili katika masuala ya kisiasa na kijamii aliyotunukiwa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Tuebingen (Ujerumani) na Chuo Kikuu cha Kimarekani, Kairo (AUC) nchini Misri. Baadhi ya mambo anayopendelea ni kufanya mazoezi, kusikiliza vitabu vya sauti (audiobooks), video, na semina.
Uzoefu wako katika suala la afya ya akili unaweza kutegemea maumbile yako, uzoefu wa maisha, hali ya kijamii na kiuchumi, jinsia, na mengineyo.
Wakati unajiandaa kumkaribisha mtu mpya duniani, mwili wako utapitia mabadiliko makubwa, yanayoonekana na yasiyoonekana.