

Ugonjwa wa malaria
Elewa malaria ni nini, dalili zake, na pata vidokezo kadhaa vya kujikinga vitakavyokufanya wewe na familia yako kuwa na afya njema.
Rungwe ni mwandishi na msimamizi wa maudhui ya Kiswahili ya Ada. Pia anasaidia kufanya utafiti na kupanga mikakati ya kampeni za masoko kwa nchi za ukanda wa Afrika Mashariki kama Tanzania. Ni mhitimu wa Shahada ya Uzamili katika masuala ya kisiasa na kijamii aliyotunukiwa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Tuebingen (Ujerumani) na Chuo Kikuu cha Kimarekani, Kairo (AUC) nchini Misri. Baadhi ya mambo anayopendelea ni kufanya mazoezi, kusikiliza vitabu vya sauti (audiobooks), video, na semina.
Elewa malaria ni nini, dalili zake, na pata vidokezo kadhaa vya kujikinga vitakavyokufanya wewe na familia yako kuwa na afya njema.
Hedhi ni kipindi ambacho mwanamke huingia katika siku zake. Jifunze zaidi kuhusu dalili zinazotokea kabla ya kuanza hedhi, maumivu wakati wa hedhi pamoja na hedhi kukoma.
Embu tuone baadhi ya aina za kawaida za maumivu ya kichwa, yanaathiri sehemu gani ya kichwa, na yanaweza kuwa na maana gani.
Kama ilivyo kwa watu wengi wanaosikia habari hizi, huenda ukawa pia na maswali. Leo tupo hapa kuyajibu kwa ajili yako.